Nafasi ya kazi ya Pharmacy

Nafasi ya kazi ya Pharmacy

Habari ndugu zangu.Mimi ni mmiliki wa pharmacy ktk jiji la Dar nilikuwa natafuta mfanyakazi wa pharmacy .

Vigezo:
-Awe na elimu ngazi ya certificate time
-Awe mkazi wa Dar
-Awe na uzoefu wa kazi

Nb: atume CV zake kupitia amospingpang@gmail.com
Hapa ndipo wajasiriamali mnakwama. Kwa nini unataka kujipa kazi ya kusoma maemail ya watu ambao ungewaepuka kama tangazo lako lingejitosheleza. Lifanye tangazo lako kuwa exclusive weka vitu kama preferred sex, working hours, na hata mshahara ili anaekutafuta aje kwa nia.
 
Hapa ndipo wajasiriamali mnakwama. Kwa nini unataka kujipa kazi ya kusoma maemail ya watu ambao ungewaepuka kama tangazo lako lingejitosheleza. Lifanye tangazo lako kuwa exclusive weka vitu kama preferred sex, working hours, na hata mshahara ili anaekutafuta aje kwa nia.
Hapana ameweka taarifa za muhimu.Zinatosha mtu kuamua.SEX sio kigezo cha kazi.Working Hours sio kigezo maana hizo ni standard.Mshahara ni maelewano.Kama mtu anataka kazi ataomba tu na yeye kusoma email ni sehemu ya kazi yake kama mjasiriamali
 
Habari za muda huyu ndugu zangu.Mimi ni mmiliki wa Pharmacy iliyopo Dar.Nilikuwa nahitaji mfanyakazi mwenye vigezo vifuatavyo:

-Awe ana cheti cha full technician level 6(ordinary diploma)
-Awe ana kibali toka Pharmacy council cha kufanya kazi .
-Awe ana uzoefu wa kufanya kazi (community Pharmacy not hospital)
-Awe mkazi wa Dar esalam
-Awe tayar kufanya kazi muda wowote.
NB:
Cv itumwe kupitia :amospingpang@gmail.com
 
Hamna watu waliosoma pharmacy humu?

Endelea kusubiri mkuu
 
Hamna watu waliosoma pharmacy humu?

Endelea kusubiri mkuu
Habari za muda huyu ndugu zangu.Mimi ni mmiliki wa Pharmacy iliyopo Dar.Nilikuwa nahitaji mfanyakazi mwenye vigezo vifuatavyo:

-Awe ana cheti cha full technician level 6(ordinary diploma)
-Awe ana kibali toka Pharmacy council cha kufanya kazi .
-Awe ana uzoefu wa kufanya kazi (community Pharmacy not hospital)
-Awe mkazi wa Dar esalam
-Awe tayar kufanya kazi muda wowote.
NB:
Cv itumwe kupitia :amospingpang@gmail.com
Hapo kwenye muda wowote ndio penye shida
 
Habari za wakati huu Ndugu zangu.
Kuna nafasi moja ya kazi ya kuuza Pharmacy maeneo ya Sinza Daresalaam.
Vigezo:
1:Awe na diploma ya Pharmacy (technician )
2:Awe na leseni toka Pharmacy council
3:Awe na uzoefu wa kuuza Pharmacy
4:Awe na utayari wa kufanya kazi muda wowote
5:Awe na jinsia ya kike (mwanamke/msichana)
6:Awe mkazi wa Daresalam.
Contact:
Check whatsup no 0762619116.
Zingatia vigezo
 
Huna akili.... umetaja vigezo tena utasema ajira ya serikal afu mshahara hujataja ...
 
Habari za wakati huu ndugu zangu,
Mimi ni mmiliki wa Pharmacy iliyopo maeneo ya sinza Dareesalam ,nilikuwa natafuta mfamasia kwaajili ya usimamizi wa Pharmacy hiyo.
Kwa mawasiliano nicheki
Whatsup no:0762619116
 
Habari za wakati huu ndugu zangu,
Mimi ni mmiliki wa Pharmacy iliyopo maeneo ya sinza Dareesalam ,nilikuwa natafuta mfamasia kwaajili ya usimamizi wa Pharmacy hiyo.
Kwa mawasiliano nicheki
Whatsup no:0762619116
 
Habari za wakati huu ndugu zangu,
Mimi ni mmiliki wa Pharmacy iliyopo maeneo ya sinza Dareesalam ,nilikuwa natafuta mfamasia kwaajili ya usimamizi wa Pharmacy hiyo.
Kwa mawasiliano nicheki
Whatsup no:0762619116
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom