Nafasi ya kazi- ualimu

Nafasi ya kazi- ualimu

pemgtoonet.com

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2013
Posts
879
Reaction score
618
Mimi ni mwalimu (b.sc.education)...natafuta kazi ya kufundisha part-time hapa dar. Masomo biology na geography.
 
1. Mm ni mwalimu wa physics na chemistry kutoka chuo cha st.john' s university of Tanzania.
2. My experiences 1 year worked Goldland school kigamboni.
3.Namtafuta nafasi ya kufundisha kwenye masomo yaliyotajwa hapo juu kuanzia I level and A Level .
4.Namba yangu ya simu 0685580831
5.My email: chidimapc20171139@gmail.com
Naishi Galibovu,mjimwema kigamboni Dar 6.es salaam
Kwanini usi-apply serikalini?
 
1. Mm ni mwalimu wa physics na chemistry kutoka chuo cha st.john' s university of Tanzania.
2. My experiences 1 year worked Goldland school kigamboni.
3.Namtafuta nafasi ya kufundisha kwenye masomo yaliyotajwa hapo juu kuanzia I level and A Level .
4.Namba yangu ya simu 0685580831
5.My email: chidimapc20171139@gmail.com
Naishi Galibovu,mjimwema kigamboni Dar 6.es salaam
Na e mail yako ndo hiyo chidimapc

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
1. Mm ni mwalimu wa physics na chemistry kutoka chuo cha st.john' s university of Tanzania.
2. My experiences 1 year worked Goldland school kigamboni.
3.Namtafuta nafasi ya kufundisha kwenye masomo yaliyotajwa hapo juu kuanzia I level and A Level .
4.Namba yangu ya simu 0685580831
5.My email: chidimapc20171139@gmail.com
Naishi Galibovu,mjimwema kigamboni Dar 6.es salaam
Mwalimu umeniangusha
 
1. Mm ni mwalimu wa physics na chemistry kutoka chuo cha st.john' s university of Tanzania.
2. My experiences 1 year worked Goldland school kigamboni.
3.Namtafuta nafasi ya kufundisha kwenye masomo yaliyotajwa hapo juu kuanzia I level and A Level .
4.Namba yangu ya simu 0685580831
5.My email: chidimapc20171139@gmail.com
Naishi Galibovu,mjimwema kigamboni Dar 6.es salaam
Mwalimu umefeli sana, kwanza galibovu ndo nini, pili I level ndo level gani hiyo?, tatu unatumia email ya kihuni nani atakuamini akupe mwanae umfundishe uhuni, nne Worked Goldland ndio English ya wapi hiyo?. Tano, Dar 6.es salaam ndo mji gani huo?, mwalimu hiyo ni kuandika tu, vipi kuhusu kuongea, Ndio maana napenda walimu nao wawe wanafanyiwa interview.
 
Mwalimu umefeli sana, kwanza galibovu ndo nini, pili I level ndo level gani hiyo?, tatu unatumia email ya kihuni nani atakuamini akupe mwanae umfundishe uhuni, nne Worked Goldland ndio English ya wapi hiyo?. Tano, Dar 6.es salaam ndo mji gani huo?, mwalimu hiyo ni kuandika tu, vipi kuhusu kuongea, Ndio maana napenda walimu nao wawe wanafanyiwa interview.
vi woonder
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom