Nafasi ya kazi mpya

Nafasi ya kazi mpya

echuma

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2010
Posts
311
Reaction score
80
Wanahitajika watu watatu wa kufanya marketing ya kampuni ( Sio ya kutembeza vyombo) malipo ni kwa Kamisheni kwa kipindi cha miezi mitatu ndipo utaanza kulipwa mshahara,vigezo uwe na uwezo mzuri wa kuongea kiingereza na uzoefu wa kazi hiyo ni tuma cv yako kwenda (aplication244@gmail.com) cv pamoja na cover letter
 
U r not serous maelezo hayajajitosheleza kabisa yaani hujasema kampuni inahusika na nani,location job responsibilities hujaelezea kwa mapana,umesema tu mtu anaejua kingereza inaonekanakingereza ni big deal,ila ushauri wangu ni kwamba the more info ina muattract mtu aombe kazi tofauti na kuweka info kidogo.
 
kama unahitaji div 5 poa ila kama unahitaji watu wenye akili ongeza taarifa hapa
 
Asante kwa kunisahihisha wakuu ofisi iko kijitonyama Dar es salaam,inashughulika na kazi za kutengeneza tovuti,dizaini,printing na steshenari

Kuhusu vigezo CV na uwezo wake kwenye field ndio vitamchuja mkuu kama ni legelege kwenye field patakuumbua,na kuhusu div 5 tusiwanyanyapae kiasi hicho kana kwamba hawana nafasi ya kurekebisha makosa unaweza kuwa na div 5 ila una uzoefu wa kutosha katika kazi ikawa ni advantage kwako.taifa lenyewe la magraduate wa kupewa majibu huwezi jua yupi wa kweli yupi sio.

Kazi pekee ndio inauwezo wa kuamua sio vyeti tena mkuu

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Hakuna kazi hapa ni kuuza sura tu
Asante kwa kunisahihisha wakuu ofisi iko kijitonyama Dar es salaam,inashughulika na kazi za kutengeneza tovuti,dizaini,printing na steshenari

Kuhusu vigezo CV na uwezo wake kwenye field ndio vitamchuja mkuu kama ni legelege kwenye field patakuumbua,na kuhusu div 5 tusiwanyanyapae kiasi hicho kana kwamba hawana nafasi ya kurekebisha makosa unaweza kuwa na div 5 ila una uzoefu wa kutosha katika kazi ikawa ni advantage kwako.taifa lenyewe la magraduate wa kupewa majibu huwezi jua yupi wa kweli yupi sio.

Kazi pekee ndio inauwezo wa kuamua sio vyeti tena mkuu

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Job description unaleta siasa
Asante kwa kunisahihisha wakuu ofisi iko kijitonyama Dar es salaam,inashughulika na kazi za kutengeneza tovuti,dizaini,printing na steshenari

Kuhusu vigezo CV na uwezo wake kwenye field ndio vitamchuja mkuu kama ni legelege kwenye field patakuumbua,na kuhusu div 5 tusiwanyanyapae kiasi hicho kana kwamba hawana nafasi ya kurekebisha makosa unaweza kuwa na div 5 ila una uzoefu wa kutosha katika kazi ikawa ni advantage kwako.taifa lenyewe la magraduate wa kupewa majibu huwezi jua yupi wa kweli yupi sio.

Kazi pekee ndio inauwezo wa kuamua sio vyeti tena mkuu

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Mama G. Kabaka anakuhusu wewe huna tofauti na kina shughulika
 
Asante kwa kunisahihisha wakuu ofisi iko kijitonyama Dar es salaam,inashughulika na kazi za kutengeneza tovuti,dizaini,printing na steshenari

Kuhusu vigezo CV na uwezo wake kwenye field ndio vitamchuja mkuu kama ni legelege kwenye field patakuumbua,na kuhusu div 5 tusiwanyanyapae kiasi hicho kana kwamba hawana nafasi ya kurekebisha makosa unaweza kuwa na div 5 ila una uzoefu wa kutosha katika kazi ikawa ni advantage kwako.taifa lenyewe la magraduate wa kupewa majibu huwezi jua yupi wa kweli yupi sio.

Kazi pekee ndio inauwezo wa kuamua sio vyeti tena mkuu

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

kwa utangazaji wako huo wa kihuni wataomba wahuni wenzio
 
Hahahahahahahhaaha jf never born,,,
Mkuuuu echuna mie nshatuma nasubr kuitwaaaa tuuu
 
Asante kwa kunisahihisha wakuu ofisi iko kijitonyama Dar es salaam,inashughulika na kazi za kutengeneza tovuti,dizaini,printing na steshenari

Kuhusu vigezo CV na uwezo wake kwenye field ndio vitamchuja mkuu kama ni legelege kwenye field patakuumbua,na kuhusu div 5 tusiwanyanyapae kiasi hicho kana kwamba hawana nafasi ya kurekebisha makosa unaweza kuwa na div 5 ila una uzoefu wa kutosha katika kazi ikawa ni advantage kwako.taifa lenyewe la magraduate wa kupewa majibu huwezi jua yupi wa kweli yupi sio.

Kazi pekee ndio inauwezo wa kuamua sio vyeti tena mkuu

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Bonge la point mkuu wengi wanazngua hawana uwezo wa kaz compared to form4 lvz,,,kikubwa sio unavyeti vingap we kaza na mwenye uwezo bnafs chek akapambe kabatin huko
 
Isee hapa.ndo huwa sielewi sijui ni kukosa comfidence au nn ? na.kusahihishwa kote huko hujataja jina la kampuni .. sasa mtu ajue anakuja kufanya kazi kampuni ipi ? ongeza trust kijana kitu cha kwanza jina then mengine yafuate .. jiamini..
 
Weka Link tukuelewe angalau hata website yao. WEWE TAPELI ngoja MAMA KABAKA AKUFUATE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom