Nafasi ya kazi, Mhasibu Msaidizi

Nafasi ya kazi, Mhasibu Msaidizi

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
26,707
Reaction score
59,225
Nafasi ya kazi ya muhasibu msaidizi

Sifa za muombaji:-

1.Awe Mwanamke na uzoefu usiopungua mwaka moja.
2.Umri Usiozidi miaka 35
3.Awe Diploma/degree ya uhasibu
4.Awe Na uwezo wa kufanya kazi katika pressure kubwa
5.Mshahara 400,000 kwa mwezi.
6.Awe Anajua kutumia computer vizuri
7.Mtu Mwenye uwezo wa kufanya kazi chini ya usimamizi mdogo
8.Awe Na uwezo wa kufanya kazi katika ushirikiano

Kituo cha kazi ni Dar es Salaam

-Maombi yatumwe kabla ya 17/09/2014
-Maombi ya mwanzo yatapewa kipaumbele

Maombi yatumwe kwa:

Nassoro Juma
Human Resources Manager
Utrack Africa Limited
Tel +255 22 2666 189.
 
Kweli jaman kwa maisha haya mtu alipwe laki nne??? Duhhh bora nikimalza chuo niendelee na biashara nayoifanya maana inaniingizia kipato sana kuliko kulipwa 400000 iyo hela si inaishia kwenye naul tu
 
Kweli jaman kwa maisha haya mtu alipwe laki nne??? Duhhh bora nikimalza chuo niendelee na biashara nayoifanya maana inaniingizia kipato sana kuliko kulipwa 400000 iyo hela si inaishia kwenye naul tu

Umeshasema wewe una biashara.kama ungekuwa huna?
 
Si haki.tatizo waajiri wanatake advantage ya tatizo la ajira kulipa mishahara midogo

Yani na mbona tutakoma na hizi kazi jaman mwisho wataanza kusema mshahara laki kwa wa degree
 
Yani na mbona tutakoma na hizi kazi jaman mwisho wataanza kusema mshahara laki kwa wa degree

inabidi wadogo zetu wasomee course zisizo na watu wengi na muhimu kwa jamii kama udactari maana wapo wachache sana ndio maana mishahara yao haichezewi
 
Hapo inabidi ale kwa kutumia peni yake, kwa style hiyo lazima huyo Accountant awaibie tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom