Nafasi ya kazi: Maafisa mikopo

Nafasi ya kazi: Maafisa mikopo

Joined
May 24, 2012
Posts
79
Reaction score
56
NAFASI YA KAZI: MAAFISA MKOPO.

Chakarika Credit Facility ni taasisi inayotoa mikopo midogo midogo iliyopo maghorofa ya Urafiki Shekilango mkabala na Royal College inatangaza nafasi ya kazi ya maafisa mikopo. Sifa zinazotakiwa: · Mwombaji awe mwaminifu · Umri usizidi miaka 30 · Uzoefu sio lazima · Awe mhitimu wa diploma na kuendelea · Awe tayari kwa kazi ya kutembea zaidi kuliko kushinda ofisini · Awe tayari kutoa mikopo na kufuatilia marejesho yake · Awe mvumilivu Tuma maombi yako kwa email: chakarikamkopo@yahoo.com kabla ya tarehe 4th March 2013. Tafadhali usitume scanned copies. Tuma CV na barua ya maombi. Vyeti utaleta siku ya usaili baada ya maombi yako kupokelewa na kujulishwa tarehe ya usaili.
 
Usiwe mvivu kutembea! Du hapo ni zaidi ya chinga sasa?
 
Kazi kweli kweli haina tofauti na ile ya kutembeza vyombo
 
Sales jobs are the best! Unadai unazunguka kumbe uanalala tu na mshahara unapokea vile vile! Mjini hapa! Sasa nyie shindeni mnahesabu noti siku nzima!
 
co kila kitu unatakiwa kucomment vingine unapita kama havikuhusu na co unaleta dharau
 
jamani nyie chakarika mbona kimya hatuelewi au mlikuwa mnatudanganya
NAFASI YA KAZI: MAAFISA MKOPO.

Chakarika Credit Facility ni taasisi inayotoa mikopo midogo midogo iliyopo maghorofa ya Urafiki Shekilango mkabala na Royal College inatangaza nafasi ya kazi ya maafisa mikopo. Sifa zinazotakiwa: · Mwombaji awe mwaminifu · Umri usizidi miaka 30 · Uzoefu sio lazima · Awe mhitimu wa diploma na kuendelea · Awe tayari kwa kazi ya kutembea zaidi kuliko kushinda ofisini · Awe tayari kutoa mikopo na kufuatilia marejesho yake · Awe mvumilivu Tuma maombi yako kwa email: chakarikamkopo@yahoo.com kabla ya tarehe 4th March 2013. Tafadhali usitume scanned copies. Tuma CV na barua ya maombi. Vyeti utaleta siku ya usaili baada ya maombi yako kupokelewa na kujulishwa tarehe ya usaili.[/QUOTE]
 
Asante sana,
Mbona tulishawaita kwenye usaili wale waliotimiza vigezo?. Watatu waliajiriwa na walishaanza kazi kitambo ya kutoa mikopo
 
NAFASI YA KAZI: MAAFISA
MKOPO.


Chakarika Credit Facility ni taasisi
inayotoa mikopo midogo midogo iliyopo maghorofa ya Urafiki Shekilango
mkabala na Royal College inatangaza nafasi ya kazi ya maafisa mikopo.
Sifa
zinazotakiwa:
·
Mwombaji awe mwaminifu
·
Umri usizidi miaka
30
·
Uzoefu sio
lazima
·
Awe mhitimu wa diploma na
kuendelea
·
Awe tayari kwa kazi ya
kutembea zaidi kuliko kushinda ofisini

·
Awe tayari kutoa mikopo na
kufuatilia marejesho yake
·
Awe
mvumilivu
Tuma maombi yako
kwa email:
chakarikamkopo@yahoo.com
kabla ya tarehe 4th March 2013. Tafadhali usitume scanned copies. Tuma
CV na barua ya maombi. Vyeti utaleta siku ya usaili baada ya maombi yako
kupokelewa na kujulishwa tarehe ya usaili.

bro kwa mimi nlie maliza form six 2011 ila cjakwenda chuo.nlikuwa nataka mchongo huo
 
mungu saidia sisi tuombao kazi na kuzikosa
 
Back
Top Bottom