Lilian Wasira
Member
- Nov 13, 2012
- 86
- 93
Matrons wanatakiwa kwaajili ya shule ya bweni..wawe wazoefu wa kulea watoto wadogo na wenye umri usiopungua miaka 25.. wawe fluent in English na wanaoweza kuishi shuleni isipokua siku za off tu. Walimu watapewa kipaumbele zaidi.......