Nafasi tano za kazi ya u Matron....

Nafasi tano za kazi ya u Matron....

Lilian Wasira

Member
Joined
Nov 13, 2012
Posts
86
Reaction score
93
Matrons wanatakiwa kwaajili ya shule ya bweni..wawe wazoefu wa kulea watoto wadogo na wenye umri usiopungua miaka 25.. wawe fluent in English na wanaoweza kuishi shuleni isipokua siku za off tu. Walimu watapewa kipaumbele zaidi.......
 
Ahsante sana da Lili japo hujafunguka zaidi namna ya kutuma maombi na mwisho ni lini.
 
Funguka kidogo,utueleze ni wapi na tuna tuma maombi kwa addresss ipi?
 
Matrons wanatakiwa kwaajili ya shule ya bweni..wawe wazoefu wa kulea watoto wadogo na wenye umri usiopungua miaka 25.. wawe fluent in English na wanaoweza kuishi shuleni isipokua siku za off tu. Walimu watapewa kipaumbele zaidi.......
Asante kwa taarifa,je ni mkoa gani?
 
Hii ni nini? Mbona hueleweki au maombi yatatumwa wapi??? Kuna watu wanahitaji Ila inaonekana hauko serious!.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom