NAFAKA KIBAHA

Hammy Js

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2017
Posts
3,053
Reaction score
3,271
Habari wandugu
Natafuta mtu (mwenye bidhaa za nafaka kama Maharage,mahindi,choroko n.k) atakayekuwa ananisafirishia kwa bus kwa bei ya jumla. Mi napatikana DSM kimara. Kama unazo njoo pm tuyajenge zaidi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…