Yule wa kwanza lilifanyika kosa kukamatwa na Polisi, kwani ilibidi taratibu za kawaida zifuatwe ashtakiwe na hakukuwa na uwezekano wa kushinda kesi. Wakina Kibatala na Lissu wakaingia humo kwa hiyo ingekuwa kiki tu kwa wimbo, msanii na wale wanaopendezwa na yaliyomo kwenye wimbo.
Hatimaye akaachiwa kwa shingo upande ila hamkuelewa maana ya kauchiwa kule, yaani zinaachwa taratibu rasmi zinakuja taratibu zingine zenye ufanisi zaidi ambazo hazitoi kiki.
Somo limeeleweka sasa, hofu imeanza kuingia. Hakuna atakayethubutu kuja tena na 'single' ya kejeli maana kulikuwa na kama movement fulani kupitia sanaa.
Hatimaye akaachiwa kwa shingo upande ila hamkuelewa maana ya kauchiwa kule, yaani zinaachwa taratibu rasmi zinakuja taratibu zingine zenye ufanisi zaidi ambazo hazitoi kiki.
Somo limeeleweka sasa, hofu imeanza kuingia. Hakuna atakayethubutu kuja tena na 'single' ya kejeli maana kulikuwa na kama movement fulani kupitia sanaa.