P pastory97 Member Joined Aug 24, 2018 Posts 17 Reaction score 12 Sep 5, 2018 #1 Samahanini jamani naomba kuuliza Kama mtu amaomba mchanganyiko Yani mfano ameomba vyuo viwili vya afya na viwili vya ualimu kwa ngazi ya diploma, wanaangaliaga nini kukuchagua chuo kimoja wapo? Na ukizingatia vyuo vyote unavigezo. Msaada...
Samahanini jamani naomba kuuliza Kama mtu amaomba mchanganyiko Yani mfano ameomba vyuo viwili vya afya na viwili vya ualimu kwa ngazi ya diploma, wanaangaliaga nini kukuchagua chuo kimoja wapo? Na ukizingatia vyuo vyote unavigezo. Msaada...
Tronics guru JF-Expert Member Joined May 19, 2016 Posts 7,876 Reaction score 7,389 Sep 5, 2018 #2 Vigezo vya kwenye guide book ndo vinaangaliwa
P pastory97 Member Joined Aug 24, 2018 Posts 17 Reaction score 12 Sep 5, 2018 Thread starter #3 Da killer said: Vigezo vya kwenye guide book ndo vinaangaliwa Click to expand... Nasemea sasa wakati wa kukuchagua kama ivyo wanakuchagua IPI kati ya afya na ualimu? Au wanakuchagua zote mbili
Da killer said: Vigezo vya kwenye guide book ndo vinaangaliwa Click to expand... Nasemea sasa wakati wa kukuchagua kama ivyo wanakuchagua IPI kati ya afya na ualimu? Au wanakuchagua zote mbili
DENLSON JF-Expert Member Joined Apr 28, 2013 Posts 956 Reaction score 1,273 Sep 5, 2018 #4 Naomba kujuzwa selection za diploma zimetoka? Kama ndio mwenye link ya vyuo vya afya na kilimo aniwekee tafadhali
Naomba kujuzwa selection za diploma zimetoka? Kama ndio mwenye link ya vyuo vya afya na kilimo aniwekee tafadhali
mind bringer Senior Member Joined Oct 19, 2017 Posts 170 Reaction score 51 Sep 6, 2018 #5 pastory97 said: Nasemea sasa wakati wa kukuchagua kama ivyo wanakuchagua IPI kati ya afya na ualimu? Au wanakuchagua zote mbili Click to expand... navofaham ukianza ku-apply lazma uchague mojawapo kati ya ualim au afyaa kam 1st choice ndo wanapokupelekaa wakizngatia vigezo vya guide book ya Nacte
pastory97 said: Nasemea sasa wakati wa kukuchagua kama ivyo wanakuchagua IPI kati ya afya na ualimu? Au wanakuchagua zote mbili Click to expand... navofaham ukianza ku-apply lazma uchague mojawapo kati ya ualim au afyaa kam 1st choice ndo wanapokupelekaa wakizngatia vigezo vya guide book ya Nacte
henryloso15 JF-Expert Member Joined Apr 1, 2018 Posts 209 Reaction score 166 Sep 6, 2018 #6 Kama kote una vigezo wanachoangalia ni competition basi kma competition hamn kweny kozi husika basi wanakupa first choice yako bila tabu
Kama kote una vigezo wanachoangalia ni competition basi kma competition hamn kweny kozi husika basi wanakupa first choice yako bila tabu
P pastory97 Member Joined Aug 24, 2018 Posts 17 Reaction score 12 Sep 6, 2018 Thread starter #7 mind bringer said: navofaham ukianza ku-apply lazma uchague mojawapo kati ya ualim au afyaa kam 1st choice ndo wanapokupelekaa wakizngatia vigezo vya guide book ya Nacte Click to expand... Apo nimekupata mkuu
mind bringer said: navofaham ukianza ku-apply lazma uchague mojawapo kati ya ualim au afyaa kam 1st choice ndo wanapokupelekaa wakizngatia vigezo vya guide book ya Nacte Click to expand... Apo nimekupata mkuu
P pastory97 Member Joined Aug 24, 2018 Posts 17 Reaction score 12 Sep 6, 2018 Thread starter #8 DENLSON said: Naomba kujuzwa selection za diploma zimetoka? Kama ndio mwenye link ya vyuo vya afya na kilimo aniwekee tafadhali Click to expand... Selection bado
DENLSON said: Naomba kujuzwa selection za diploma zimetoka? Kama ndio mwenye link ya vyuo vya afya na kilimo aniwekee tafadhali Click to expand... Selection bado