Ndugu wana jamvi baada ya kuwa sisi tuliochaguliwa UDSM kupitia NACTE kutemwa kule kwa kukosa credit tatu za o level.
Nacte walitufungulia profile zetu tuchague upya nilifanya hivo lakini mpaka sasa profile yangu haijabadika na kesho wanatoa third batch Kweli ntapata mkopo masikini Mimi.
Na machungu makubwa ila nacteeeee mungu awahurumie.
Nacte walitufungulia profile zetu tuchague upya nilifanya hivo lakini mpaka sasa profile yangu haijabadika na kesho wanatoa third batch Kweli ntapata mkopo masikini Mimi.
Na machungu makubwa ila nacteeeee mungu awahurumie.