NACTE watatoa lini mrejesho?

NACTE watatoa lini mrejesho?

Prince naithy

Member
Joined
Nov 18, 2015
Posts
57
Reaction score
3
Wadau eeeeeeeeeeh nacte bado hawaja toa au mpakq weeeek 4 zijazooooo nn
Coz wamesema mpk week 4 yaaan trh3 mpaka leo trh 21 bado ci mazinguZi haya au wame tusahau nn
 
Vumilia tu Prince naithy wakati ukifika watafungua
 
Wadau eeeeeeeeeeh nacte bado hawaja toa au mpakq weeeek 4 zijazooooo nn
Coz wamesema mpk week 4 yaaan trh3 mpaka leo trh 21 bado ci mazinguZi haya au wame tusahau nn
Kwanza man hao wamekula fuba yetu waliyotuambia tuapply bachelor
 
habari wana jf, hivi nacte wanaweza kutoa chance ya kuapply vyuo kwa wale walioshindwa kuapply kabla ya 31 may. msaada tafadhali
 
Kuhusu NACTE online application, wanaweza fungua Leo, narudia Leo..
1469176049459.jpg


chanzo cha ndani cha kuaminika.
 
Niko apa ofisi za Nacte ..kwa maelezo ni kwamba CaS inafunguliwa wiki ijayo na walioomba for diploma Na cheti majibu mwisho wa mwezi. Ila kwa diploma kwenda degree ni through TCU Na point ni 3.5 Na kwale walioomba mwezi wa tano for degree, majina yao yatapelekwa TCU na kama utakuwa Na iyo point basi utachaguliwa.
 
asante mkuu kwa kututoa tongotongo
ila walitakiwa kujulisha umma kwa kila kinacho endelea hio ndo transparant&accountability
haya mwisho wa mwez sio mbal ni takriban wik1
acha tusubir
 
Na bado msimamo wao ni uleule wa 3.5 hata kwa wapiga chaki?
 
Back
Top Bottom