Achaneni na mambo ya profile, nendeni moja kwa moja kwenye vyuo mlivyokuwa mmechagua! Karibia vyuo vyote vimeshatema sasa huko NACTE mnafuata nini tena wakuu? Mimi ya kwangu iko vile vile lakini chuo nimepata SUA! Eti niwe calm wakati wanashughulikia!!