Jamani mimi leo nimejaribu kufungua CAS kwaajili ya kufanya application kwa kupitia diploma na ftc lakini ikagoma kabisa. Nifanyaje ?? Is it a common problem ?
Hii nimeongea na nacte wanasema matokeo yaliyobaki ni ya kilimo tu na wanategemea kumalizia uhakiki kesho jioni yatakuwa hewani labda nawe ni mmoja wapo vuta subira
Hii nimeongea na nacte wanasema matokeo yaliyobaki ni ya kilimo tu na wanategemea kumalizia uhakiki kesho jioni yatakuwa hewani labda nawe ni mmoja wapo vuta subira
Nyie mnaotumia search hiyo sijui kama mmesoma pale juu kuwa you can use this interface to search for selected applicants into certificatr and diploma programmes hii inaamaanisha kuwa kwa degree programme bado