Chande Mziwanda Member Joined Jul 22, 2016 Posts 6 Reaction score 0 Aug 15, 2016 #1 Tunasubiri Leo Dirisha la udahili kupitia TCU lifunguliwe. Wakati huohuo wale wa Nacte hakuna kipya mpaka sasa. Kulikoni?????
Tunasubiri Leo Dirisha la udahili kupitia TCU lifunguliwe. Wakati huohuo wale wa Nacte hakuna kipya mpaka sasa. Kulikoni?????
cgo_knowledge Member Joined Aug 9, 2016 Posts 30 Reaction score 14 Aug 15, 2016 #2 NACTE...wazee wa kukurupuka..
better parker Senior Member Joined Jul 26, 2016 Posts 166 Reaction score 103 Aug 15, 2016 #3 Au ndali anachambua sifa za diploma mpaka yeye apende ndio watatoa mana saiv ni matamko tu ya kibabe na yasiyokuwa na dira kiki nyingi kweli
Au ndali anachambua sifa za diploma mpaka yeye apende ndio watatoa mana saiv ni matamko tu ya kibabe na yasiyokuwa na dira kiki nyingi kweli
Rajab_Omar JF-Expert Member Joined May 15, 2016 Posts 16,480 Reaction score 27,185 Aug 15, 2016 #4 Chande Mziwanda said: Tunasubiri Leo Dirisha la udahili kupitia TCU lifunguliwe. Wakati huohuo wale wa Nacte hakuna kipya mpaka sasa. Kulikoni????? Click to expand... Bado Una imani Kuwa Dirisha la Udahili Litafunguliwa leo???
Chande Mziwanda said: Tunasubiri Leo Dirisha la udahili kupitia TCU lifunguliwe. Wakati huohuo wale wa Nacte hakuna kipya mpaka sasa. Kulikoni????? Click to expand... Bado Una imani Kuwa Dirisha la Udahili Litafunguliwa leo???
P Prosoo JF-Expert Member Joined Aug 9, 2015 Posts 471 Reaction score 167 Aug 15, 2016 #5 King Ngwaba said: Bado Una imani Kuwa Dirisha la Udahili Litafunguliwa leo??? Click to expand... Mm hapana
King Ngwaba said: Bado Una imani Kuwa Dirisha la Udahili Litafunguliwa leo??? Click to expand... Mm hapana