Mfumo wa udahili wa pamoja ndio umesha ingia mitini utabaki kwa afya na elimu vyuo vya serikali tu. Hivyo anza kujitafutia unachotaka na utaomba moja kwa moja chuoni.
Naomba kuuliza nimeon hiyo tare h kumi na tano wanafungua lkni now udahili utakua tofauti kudogo ukipitia nacte websites,, je udahili wa wanaoomba degree programs n lini mbn nacte wamezngumzia ni diplom
Naomba kuuliza nimeon hiyo tare h kumi na tano wanafungua lkni now udahili utakua tofauti kudogo ukipitia nacte websites,, je udahili wa wanaoomba degree programs n lini mbn nacte wamezngumzia ni diplom
Mwaka jana udahili wa degree programs zote ulikuwa kupitia TCU (ukiacha vyuo 2). TCU hudahili baada ya majibu ya F6 kutoka. Lakini agizo la raisi ni watu kudahili moja kwa moja vyuoni, itabidi kusubiri kuona TCU watafanyaje mwaka huu.