Nacte Certificate Application: Tuliomaliza F.4 2016,Dirisha la Usajili Lini?

Kididimo

JF-Expert Member
Sep 20, 2016
3,791
3,360
Kuna tuliomaliza kidato cha nne 2016 tukajaribu kuomba vyuo kupitia CAS mwezi March 2017 hatukupata. Tulijibiwa tusubiri mpaka itakapotangazwa tena . Baadhi tulilipa 30,000/= kwa M-Pesa na ikakatwa ila kwenye usajili tukaambiwa tusubiri. Je,hiyo fedha ndo itatumika itakaporuhusiwa tena au itabidi kulipa tena? Na itakuwa lini? Mwenye kujua atujuze.
 
Mkuu Kididimo,kumbe wewe ni mdogo hivyo?? BIG UP,lol
Nimefurahi sana. Natamani iwe hivyo. Hii msg nimeombwa na vijana wangu hapa mtaani kwangu niiweke. Nimeiweka kama walivyonipa bila kuedit. Nimeona haina madhara!na ni vizuri ipate majibu.
 
walipatiwa majibu ya kusubiri so wasubirie but kuhusu 30000 (loading......................................pls wait
 
Back
Top Bottom