Habari wapendwa naitwa Andrew ningependa kupendekeza wazo Kwa wale wote walio Na wanaotalajia kufanya application online through NACTE tutengeneze group WhatsApp ili tupeane idea juu ya vyuo mbali mbali vya kuomba Na cozi admin 0765-680114 Nicheki DM (direct message) Kwa kutuma neno NACTE
Huenda umenunua smartphone Jana Mkuu,hivi kweli waombaji zaidi ya kaki mbili watatosha kwenye hako kagroup kako ka watu miambili,au na wewe unaona fahari kuitwa admin? Wazo LA kipuuzi sana hili.
Huenda umenunua smartphone Jana Mkuu,hivi kweli waombaji zaidi ya kaki mbili watatosha kwenye hako kagroup kako ka watu miambili,au na wewe unaona fahari kuitwa admin? Wazo LA kipuuzi sana hili.