bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,380
- 6,852
Tena la kushangaza wahindi waliletwa na Waingereza kama vibarua wakati wa ujenzi wa reli kuanzia South Afrika nchi nyingi tu zilizokuwa makoloni yao. Angalia leo vitukuu vyao viko wapi kifedha. Waarabu nao walikuja na majahazi ya papa wakavu na vifaa vyengine vya biashara ndogo ndogo na leo vitukuu vyao pia wako mbali sana kimaendeleo.Wakati wenzetu wao hawako hivyo hizo Nyumba nyingi za Upanga walijenga wao Nyerere akawazulumu lakini kama uonavyo penye IQ kubwa IQ hafifu hujitenga.
Ni jitihada zao binafsi na umoja wao ndiyo umewafikisha hapo walipo.