Nachujulia chini Muhogo wa Jang'ombe

mahirtwahir

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2013
Posts
614
Reaction score
322
Habari zenu waungwana.?

Kuna mwanandoa mpya kaja kuniuliza hivi "kuna mazara yoyote kuchujilia chini chungu"

Akiwa na maaana hiii mke wake ametoka kujigungua miezi 4 iliopita ingawa tangu ajifungue alipokauka damu yake ya nifasi basi hadi leo hajaingia katika siku zake ila kijana kwa kuogopa kupandikiza mtoto mwengine mapema basi anaamua " kumwaga nje manii wakati wa tendo"

Suali ni hapa

Kama hajaanza kupata ada zake za mwezi ni kweli hawezi kushika mimba?
Jeee anapomwaga nje kuna madhara gani kiafya?
 
Mimba anashika vizuri kabisa

Kumwaga nje haina madhara sema inabidi awe na timing ka kumchinja kobe
 
Kama ana wasiwasi huo avae kinga
 
Akinyonyesha mtoto vizuri hawezi pata mimba mpaka miezi 6
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…