Kwa wale wapenzi wa gaming na watu wanaofanya video editing,graphic desighn, wanaochora ramani za nyumba(artchtec).nabuild gaming/graphic pc kwa gharama nafuu kulinganisha na gharama ya ps4 iliyochipiwa
Natumia case basic nachoangalia iwe kubwa kwa mzunguko mzuri wa hewa
Spec&cost
Cpu i5 3.2ghz
Ram>>8gb
Hdd>>500gb
Graphic card>>r9 280x 3gb
Bei>>800k
Cpu i5 3.4ghz
Ram>>8gb
Hdd>>500gb
Graphic card >>r9 290x 4gb
Bei 950k
Cpu i7 3.4ghz
Ram>>8gb
Hdd>>500gb
Graphic card >>r9 280x 3gb
Bei 850k
Cpu i7 3.4ghz
Ram>>8gb
Hdd>>500gb
Graphic card >>r9 290x 4gb
Bei>>1m
Ukichukua pc nakuwekea 10games za kuanzia utachugua mwenyewe pia spec zinaweza kuongezeka based na pesa utayolipia vitu kama ram&hdd vinaweza kuongezeka zaidi
Faida ya kutumia gaming pc kulinganisha na ps4 or xbox
=Gaming pc ipo more powerfull kuliko ps4&xbox one mfano ps4&xbox one zinatumia gpu ya radeon hd 7770 ukilinganisha na r9 280x ambayo ipo 3x more powerfull na ulikilinganisha na r9 290x ambayo ipo 5x more powerfull
=gaming pc unaweza kuitumia pia kwa matumizi mengine ikiwemo kuangalia move,kusurf internet na kwa sababu zina gpu kubwa hizi pia unaweza kutumia kufanyia video edit,graphic desigh hata wale wachora ramani pia unaweza itumia pia
=gaming pc inasupport controller zote za ps4,ps3,ps2,xbox one,xbox 360 na pia za pc na hizo unaweza kuzitumia wired or wireless
=matengenezo ya pc kama inatokea tatizo ni cheap zaidi na mafundi computer ni wengi
= gaming pc inakupa urahisi wa kupata game unaweza kucheza cracked game ambazo unadowload ,nauza pia 10k kwa game.,pia ukitaka online unaweza kununua ukilinganisha na ps4 ambapo cd ni gharama na hata ukisema utumie chiped latest payload ya ps4 haisupport new game kama fifa 19
Kwa wale wanaotaka pc kwaajili ya kuchezesha game kutumia kwa matumizi ya nyumbani unaweza iconnect na tv kupitia hdmi kuanzia i5 inatosha, ila kwa wale ofisi kwa wale wanafanya kazi za editing,graphic desigh na maanisha wale wanaotumia adobe zote nakushauri atlist i7 with
u
Natumia case basic nachoangalia iwe kubwa kwa mzunguko mzuri wa hewa
Spec&cost
Cpu i5 3.2ghz
Ram>>8gb
Hdd>>500gb
Graphic card>>r9 280x 3gb
Bei>>800k
Cpu i5 3.4ghz
Ram>>8gb
Hdd>>500gb
Graphic card >>r9 290x 4gb
Bei 950k
Cpu i7 3.4ghz
Ram>>8gb
Hdd>>500gb
Graphic card >>r9 280x 3gb
Bei 850k
Cpu i7 3.4ghz
Ram>>8gb
Hdd>>500gb
Graphic card >>r9 290x 4gb
Bei>>1m
Ukichukua pc nakuwekea 10games za kuanzia utachugua mwenyewe pia spec zinaweza kuongezeka based na pesa utayolipia vitu kama ram&hdd vinaweza kuongezeka zaidi
Faida ya kutumia gaming pc kulinganisha na ps4 or xbox
=Gaming pc ipo more powerfull kuliko ps4&xbox one mfano ps4&xbox one zinatumia gpu ya radeon hd 7770 ukilinganisha na r9 280x ambayo ipo 3x more powerfull na ulikilinganisha na r9 290x ambayo ipo 5x more powerfull
=gaming pc unaweza kuitumia pia kwa matumizi mengine ikiwemo kuangalia move,kusurf internet na kwa sababu zina gpu kubwa hizi pia unaweza kutumia kufanyia video edit,graphic desigh hata wale wachora ramani pia unaweza itumia pia
=gaming pc inasupport controller zote za ps4,ps3,ps2,xbox one,xbox 360 na pia za pc na hizo unaweza kuzitumia wired or wireless
=matengenezo ya pc kama inatokea tatizo ni cheap zaidi na mafundi computer ni wengi
= gaming pc inakupa urahisi wa kupata game unaweza kucheza cracked game ambazo unadowload ,nauza pia 10k kwa game.,pia ukitaka online unaweza kununua ukilinganisha na ps4 ambapo cd ni gharama na hata ukisema utumie chiped latest payload ya ps4 haisupport new game kama fifa 19
Kwa wale wanaotaka pc kwaajili ya kuchezesha game kutumia kwa matumizi ya nyumbani unaweza iconnect na tv kupitia hdmi kuanzia i5 inatosha, ila kwa wale ofisi kwa wale wanafanya kazi za editing,graphic desigh na maanisha wale wanaotumia adobe zote nakushauri atlist i7 with