Naachia frem mitaa ya Makuburi Ubungo

Naachia frem mitaa ya Makuburi Ubungo

Joined
Aug 11, 2014
Posts
29
Reaction score
2
Kwa mahitaji 0713992681..
 

Attachments

  • 1412152994628.jpg
    1412152994628.jpg
    107.8 KB · Views: 201
Bei gani kwa mwezi mkuu

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Nahama jiji so sitokua na usimamizi..kodi ni ndogo sana nichek kwenye simu
 
hapo anataka umpigie aanze kuleta 'uswahili'. kama ni ndogo weka basi watu wajue, au 'mazungumzo yapo' kama kwa mmachinga? wabongo bhana!!

We kama kupiga simu au kutuma sms unaona ni gharama inaonyesha frem hutaiweza wenzio mbona wanapiga..maongezi yapo ndo maana sijaweka bei..
 
We kama kupiga simu au kutuma sms unaona ni gharama inaonyesha frem hutaiweza wenzio mbona wanapiga..maongezi yapo ndo maana sijaweka bei..

pale uliposema 'bei ni ndogo sana' ungetakiwa kuandika hivyo. wanaopiga ni mambumbumbu! sorry.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom