Na Yuleee. ...... ndo Nampendaga........ James

Kasie

Platinum Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
22,805
Reaction score
43,230
James,
Siwezi kutazama nyuma kwani nimegundua mapenzi yaweza mkuta mzee au kijana hayajali umri ulio nao.
Kasie mie ni kibibi bin ajuza ngozi imeanza kupata makunyanzi lakini mapenzi yako kwangu najiona kama ni mschana wa miaka 18.......
Macho yangu mtazame James..... weeweeee ndo nakupendagaa... Moyo wangu tembea na James ...... namwamini sana.......
Shika moyo wangu baby uutunze.... huenda nafsi yangu ikapoaa aah aahaa...
Kuna mudaa namuomba Mola angekuleta mapemaa oooh ila .............
James ndo unayejua maumivu yanguuu
Mooyoo wangu.........
Love you James. .......
Happy Valentine from Kasie.
Muah!! 🙂🙂🙂

"Tears on my pillow..... pain in my heart caused by you........"
 
I love you too Kasie [though my name is Ngabu, not James].

Who else do I love....hmm...lemme see....

Teh teh teh.....
 
I love you too Kasie [though my name is Ngabu, not James].

Who else do I love....hmm...lemme see....

Teh teh teh.....

Yaani kule haijatosha na huku unaendelea na .......

You have to know the real Kasie for real.....
When she loves .... she loves for real.......
If you are just gaming you better.....
Love you back though
 
Yaani kule haijatosha na huku unaendelea na .......

You have to know the real Kasie for real.....
When she loves .... she loves for real.......
If you are just gaming you better.....
Love you back though

Kule wapi tena?

Au unanifananisha na James?
 
Hahahahaaaa Kasie is problematic sometimes hata mie nashindwa kumuelewa sijui ni mizimu ya kinyamwezi inamuandama.......
Basi kama mizimu ya kinyanyembe ..dawa ni WaManga ndo twaziweza hanjamu na maruhani yetu!!
 
we utakuwa bado unalipa ungekuwa ajuza james wala asingekupenda
 
we utakuwa bado unalipa ungekuwa ajuza james wala asingekupenda
Hahahahaa sisemi sana juu ya hilo,
Ila..... hujawahi kuona mtu yuko na mwanamke ila akipita nae mtaani watu wanajiuliza kampendea nini? Na wengine watasema si bure mwanamke kumfanyia madawa mwanaume hata ampende. ....
Kumbe hakuna ndumba wala uchawi. Wakati mwingine mapenzi ni upofu mtu anapenda mke ambaye mvuto zero..... IVO.
 
kweli mapenzi hayana umri bado tu unapenda na kupendwa
 
Ndio nature ya penzi jipya hiyo inaweza ikaendelea au likachakaa kama nguo iliokwisha valiwa I think time will tell.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…