----- na bosi wake

Martin Maqway

Member
Joined
Sep 22, 2013
Posts
19
Reaction score
2
Kuna ----- mmoja alitoroka kazini wakati bosi wake hayupo ofisini,alipofika kwake kamkuta bosi akiwa na mke wake (huyo -----),----- alirudi mbio ofisin huku akisema namshukuru mungu maana bosi hajaniona angeniona ningefukuzwa kazi!maana angejua nimetoroka ingekuwa msalaaaaaaa!
kama ni wewe ungefanya nin?
 
Safi sana unaimprove ,post yako ya 7 hii keep it up !
Huko kwenu facebook hujaridhika na majibu waliyokupa!
 

mimi ningeingia tu ndani kwangu niwakute vizuri halafu niwapige picha,hatathubutu kunifukuza kazi hata kidogo,..huyo amekuwa mwoga mno,nina wasiwasi hampendi mke wake kihivyoo?
 

mimi ningeingia tu ndani kwangu niwakute vizuri halafu niwapige picha,hatathubutu kunifukuza kazi hata kidogo,..huyo amekuwa mwoga mno,nina wasiwasi hampendi mke wake kihivyoo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…