Ninachopendea waTanzania ni kula
Unazaliwa-tunakula
Unaenda shule-tunakula
Unamaliza shule tunakula
Unapata kazi tunakula
Unakufa tunakula
Tukikukumbuka tu--tunakula
What a nice cycle.
Napendekeza kama nafasi inaruhusu mtu azae mapema na awe na mke wake tokea miaka ya 17,18,19 huko,akishafikia umri wa miaka kadhaa anahangaika na mambo mengine tu ya maisha.
Napendekeza kama nafasi inaruhusu mtu azae mapema na awe na mke wake tokea miaka ya 17,18,19 huko,akishafikia umri wa miaka kadhaa anahangaika na mambo mengine tu ya maisha.