Mzimu wa Lissu ndio tatizo kubwa kwa sasa kuliko mtu yeyote hapa Tanzania

Lissu angeitumia kwa ustadi mkubwa kete ya 2020 angeshinda uchaguzi mapema sana maana Marekani wapo nyuma ya wapinzani kwa 100%

..Marekani na washirika wake wako INDIFFERENT / HAWAJALI kinachoendelea hapa Tz.

..kusini mwa AFRIKA chama kinachojua machungu na misukosuko ya wapinzani kuungwa mkono na Wamarekani ni chama cha ZANU cha Zimbabwe.
 
Ninakuhakikishia kwamba hilo la Tundu Lissu ndilo linalowanyima usingizi huko ndani ya CCM.

Uwe na hakika kwamba watafanya kila lililomo katika uwezo wao kuzuia asiweze kuwa mgombea.

Pamoja na hilo la kuzuia pasiwepo na uchaguzi ulio huru na wa haki, pengine jambo la pili kwa umhimu kwao ni kumzuia Lissu asigombee.

Haya mawili yanatakiwa yapigiwe hesabu kubwa kuhakikisha kwamba CCM hawawaburuzi waTanzania juu yake.
 
Muda wa kupangua hoja za wapinzani hauta kuwepo. Hili ni tatizo kubwa sana. Kwahiyo njia pekee iliyobaki Ni kuiba kura .time huru ya uchaguzi ni muhimu
 
Haijalishi mkuu.

Unataka kujisahaulisha maajabu ya CCM ya leo?

Wewe unaloona haliwezekani au ni la aibu hata kulionyesha mbele za watu, kwao lililo mhimu ni matakwa yao, basi!
 
Lissu angeitumia kwa ustadi mkubwa kete ya 2020 angeshinda uchaguzi mapema sana maana Marekani wapo nyuma ya wapinzani kwa 100%
Sijui una maana gani mkuu 'technically' kwa hii ya "Marekani wapo nyuma ya wapinzani kwa 100%"?

Kwa wenye ufahamu, hilo ni kama 'nzi kuchafua mchuzi'.

Tafakari kidogo juu ya hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…