Lissu angeitumia kwa ustadi mkubwa kete ya 2020 angeshinda uchaguzi mapema sana maana Marekani wapo nyuma ya wapinzani kwa 100%
..Marekani na washirika wake wako INDIFFERENT / HAWAJALI kinachoendelea hapa Tz.
..kusini mwa AFRIKA chama kinachojua machungu na misukosuko ya wapinzani kuungwa mkono na Wamarekani ni chama cha ZANU cha Zimbabwe.