Sekunde chache
Senior Member
- Mar 3, 2025
- 104
- 73
Anaangalia km vile mtu ananukiwa na ushuzi 1Job anaonekana kanuna, kunani?
Wakimkumbuka tutakoma😂😂Hivi GenZ wa Kenya hawakumuona huyu Babu?😆😆 hebu Imagine sijui wangefananisha na nin😉
Haina ukubwa wowote mshukuru sana jeshi la policcmCCM ni jitu flani kuuuuuubwa!
BPHJob anaonekana kanuna, kunani?
Uliishawahi kujiuliza kwanini hiyo Policcm inaiheshimu sana CCM?Haina ukubwa wowote mshukuru sana jeshi la policcm
CCM ni jitu flani kubwa halafu kubwa jingaCCM ni jitu flani kuuuuuubwa!
Uyu mzee binafsi sina shida nae maana najua kwa sasa kama yupo na miaka 70 kiona miaka 70 mingine ni ndoto ,ni mda wake wa kujenga Taifa sio bomoa Taifa baada yake kuna kizazi chake na cha watz wengine wanakuja, so atulie vizuri katika cheo husika , sio kuleta mzaa, taifa ni kubwa kuliko umri alio nao ,asema BwanaWiki kadhaa zilizopita kuna watu walimmisi Mzee Wasira wakawa wanauliza Yuko wapi?
Leo kaibuka katika mkutano wa CCM huko Dodoma akiwa na nguvu zaidi, Ari zaidi na Kasi zaidi.
View attachment 3349906
Ana miaka 80 huyo kazaliwa 1945Uyu mzee binafsi sina shida nae maana najua kwa sasa kama yupo na miaka 70 kiona miaka 70 mingine ni ndoto ,ni mda wake wa kujenga Taifa sio bomoa Taifa baada yake kuna kizazi chake na cha watz wengine wanakuja, so atulie vizuri katika cheo husika , sio kuleta mzaa, taifa ni kubwa kuliko umri alio nao ,asema Bwana
Nashukuru kwa taarifa mkuuAna miaka 80 huyo kazaliwa 1945