Mzee wa miaka 70 apokea kichapo cha mbwa mwizi baada ya kufaniwa na mke wa mtu mwenye miaka 35

Nsumba ntale tz

JF-Expert Member
Apr 19, 2016
713
759
Mzee wa miaka 70 ameigwa na kujeruhiwa na wananchi huko Kenya baada ya kuzini na mke wa mtu mwenye miaka 35. Mzee huyo inasemekana ilimpatia mwanamke huyo kiasi cha Kenya shilingi 5000, fedha ambayo mume wa mke huyo aliichukua

tazama video ya tukio zima

 
Vijana mmetepeta sana siku hizi....Wazee tulikula mikuyati enzi zetu,Tunapiga show ya uhakika
Mmebaki kudanganyana sijui bao nne,tano sijui nini...Mzee anapiga kimoja cha uhakika mpaka Mama Yeyoo anapiga mayowe ya utamu
 
Back
Top Bottom