......................"Lord without me, - You're nothing".
Alisikika muumini mmoja akimuomba Mungu kwa madaha na kwa sauti akijua anawakoga ambao hawajui Kiinglishi.
Dogo mtoto wa mchungaji anaesoma ingilishimidiam akasema kwa sauti kubwa,
'Anko, huendi Mbinguni.
Waumini wote wakapigwa na butwaa!
Je, ni kweli muumini anazo au hana dalili za kwenda mbinguni?
Unadhani kwanini?
Unapohitaji chochote unatakiwa utoe ujumbe sahihi na lugha yakueleweka.
Sasa ndugu,
Unatuambia unauza mizani ya mawe?-Mawe gani?
maana hata vito wengine wanaita mawe.
Mwingine anaweza kusema kuna picha, sawa.
Binafsi, sijawahi kuona mizani ya aina hii.
Weka tangazo lieleweke kiurahisi vinginevyo utangoja sana.
Ni maoni tu lakini.