my season sad....!oh lord help me

my season sad....!oh lord help me

kisenya

Member
Joined
Aug 7, 2012
Posts
6
Reaction score
4
Me ni mschana nna umr wa miaka 24....nimeamua kuwa na maisha yangu baada ya kuumizwa sana kimapenz nimembembeleza sana my bf labda hatabadlika lakini bado naishia kila siku kulia najiona sina thaman kwenye dunia hii it's beter mtu akwambie ulichomkosea.....siach kusal namwomba mungu anisaidie katka hii hali nlyokuwepo nayo naumia sana jaman nashndwa kula ni stres tu bado nampenda na nataka kumsahau in my head b'coz nashndwa kufanya mambo yangu mda mwng namwaza yy mpaka nimeanza kulose some weight naumia zaid nkimfkiria jins tulvyokuwa tumepanga mambo mengi kuhusu me na ye before hajapata kazi lakin sasa malipo yangu ni kulia kla sku....!nakuja kwenu naombeni msaad weni ni vp unaweza kumsahau mtu ulyekuwa unampenda ni kweli nimeamua kuachana nae napata tabu sana jamani plz ushaur
 
Me ni mschana nna umr wa miaka 24....nimeamua kuwa na maisha yangu baada ya kuumizwa sana kimapenz nimembembeleza sana my bf labda hatabadlika lakini bado naishia kila siku kulia najiona sina thaman kwenye dunia hii it's beter mtu akwambie ulichomkosea.....siach kusal namwomba mungu anisaidie katka hii hali nlyokuwepo nayo naumia sana jaman nashndwa kula ni stres tu bado nampenda na nataka kumsahau in my head b'coz nashndwa kufanya mambo yangu mda mwng namwaza yy mpaka nimeanza kulose some weight naumia zaid nkimfkiria jins tulvyokuwa tumepanga mambo mengi kuhusu me na ye before hajapata kazi lakin sasa malipo yangu ni kulia kla sku....!nakuja kwenu naombeni msaad weni ni vp unaweza kumsahau mtu ulyekuwa unampenda ni kweli nimeamua kuachana nae napata tabu sana jamani plz ushaur

Ulikuwa unampenda au bado unampenda? Kama ulikiwa unampenda basi msahau na endelea na maisha yako
 
kua busy na mambo mengine,hujazaliwa nae huyo
tafuta friends wa kuchart,story,soma novels,mradi uwe busy
nenda mazoezi!mbona utamsahau tu kama ukitaka!

 
It is better to have loved and lost, than never to have loved at all. Time heals everything girl, you are gonna be alright. Tc.
 
Me ni mschana nna umr wa miaka 24....nimeamua kuwa na maisha yangu baada ya kuumizwa sana kimapenz nimembembeleza sana my bf labda hatabadlika lakini bado naishia kila siku kulia najiona sina thaman kwenye dunia hii it's beter mtu akwambie ulichomkosea.....siach kusal namwomba mungu anisaidie katka hii hali nlyokuwepo nayo naumia sana jaman nashndwa kula ni stres tu bado nampenda na nataka kumsahau in my head b'coz nashndwa kufanya mambo yangu mda mwng namwaza yy mpaka nimeanza kulose some weight naumia zaid nkimfkiria jins tulvyokuwa tumepanga mambo mengi kuhusu me na ye before hajapata kazi lakin sasa malipo yangu ni kulia kla sku....!nakuja kwenu naombeni msaad weni ni vp unaweza kumsahau mtu ulyekuwa unampenda ni kweli nimeamua kuachana nae napata tabu sana jamani plz ushaur
pole sana kwa mkasa huo!matatizo hayana budi kutokea lakini mwishowe lazima maisha yaendelea kama kawaida,what you can do,kumsahau mtu unayempenda sana si rahis sana fanya hivi just cry for as long as you can na uamue kumsahau no one will do this for you ,tafute sehemu tulivu eg pwani ya bahari ,kwenye kijito ,mto kwenye popote patulivu kwa siku nzima wewe peke yako ufikirie upya mstakabali wako go with him(not in person) usiende naye phisically but mawaazoni ,na umuache huko unaporudi make sure umemuacha huko na uko peke yako ,all ze best
 
Back
Top Bottom