my phone icon missing and contact in smartphone

my phone icon missing and contact in smartphone

bileduke

Member
Joined
Sep 1, 2015
Posts
27
Reaction score
1
Habar wanajf napenda kusikia maoni kutoka kwenu.

Natumia huawei 330 IPO rooted baada ya mda mrefu naitumia katika ubora wake ila likatokea tatizo LA kupotea kwa phone icons na contact katika kurekebisha nikajaribu kapakua app zingne za dial ila ikawa plystory inagoma kudownload na kuandika error sasa nashindwa nifanyeje hats nikipakua app nje ya play story file halifunguki.
He nitumie njia gani niweze kupiga sim au sm yangu iweze kuonyesha majina kwa kuwa hata Niki restory bado haiwi katika mpangilio wake
 
Habar wanajf napenda kusikia maoni kutoka kwenu.

Natumia huawei 330 IPO rooted baada ya mda mrefu naitumia katika ubora wake ila likatokea tatizo LA kupotea kwa phone icons na contact katika kurekebisha nikajaribu kapakua app zingne za dial ila ikawa plystory inagoma kudownload na kuandika error sasa nashindwa nifanyeje hats nikipakua app nje ya play story file halifunguki.
He nitumie njia gani niweze kupiga sim au sm yangu iweze kuonyesha majina kwa kuwa hata Niki restory bado haiwi katika mpangilio wake

umejaribu ku unroot?
 
Hili tatzo hata mm limenikumba baada ya kuroot simu yangu playstore haionekani na nikidownload haisomi,wenye uelewa na hili waje watusaidie
 
Rooting is a b*tch.....
Mkuu maamuzi sahihi imenitokea hata mm yaani kwenye samsung s3 lakini mm s voice haifanyi kazi, playstore haifanyi kazi.... Kuna simu nimejiunga playstore ikawa haifanyi kazi inaniletea error text... nikahisi bundle imekata nikajiunga tena kumbe nina mb za kutosha tuuu..... Now i can't updates apps kwenye simu yangu.... Am thinking to unroot....
 
Last edited by a moderator:
Rooting is a b*tch.....
Mkuu maamuzi sahihi imenitokea hata mm yaani kwenye samsung s3 lakini mm s voice haifanyi kazi, playstore haifanyi kazi.... Kuna simu nimejiunga playstore ikawa haifanyi kazi inaniletea error text... nikahisi bundle imekata nikajiunga tena kumbe nina mb za kutosha tuuu..... Now i can't updates apps kwenye simu yangu.... Am thinking to unroot....

usisahau ku update google play service
 
Last edited by a moderator:
Hili tatzo hata mm limenikumba baada ya kuroot simu yangu playstore haionekani na nikidownload haisomi,wenye uelewa na hili waje watusaidie

rudisha stock rom kama factory reset haijafanya kazi.
 
Back
Top Bottom