Kwa yale kidogo niliyosoma na kusikia, mwanamke hahitaji bamia tu ili limfikishe anakotaka. Kibaolojia, raha zaidi katika ngono ipo juu juu zaidi kuliko ndani kabisa (hapa unaingia ule mjadala wa uhusiano raha na ukubwa na udogo wa bamia).
Kwa upande mwengine, nafikiri hawa jamaa wanavutiwa na "new experiencies". Kuna uwezekano, kwa mawazo yangu, kuwa pengine mwanamke anamwelewa zaidi mwanamke mwenzake kwa kuwa wote wanamiliki kilekile na kujua zaidi vianzio vya "sensitive nervers zao"; ndio maana mara nyengine tunapata malalamiko ya wengine hapa wanapodai kuwa wenza wao hawawafikishi.
Lakini kama mawazo yangu haya ni sawa, kwa nini mwanamke asimwambie mume/mwenza wake pale anapotaka hasa aguswe badala ya kukimbilia kile ambacho maadili, dini na jamii bado haikikubali? Hapa la kufanya ni " ya Ngoswe tuwawachie wenyewe akina Ngoswe".
hawa rafiki zako waliishia wapi afrodenzi?Yaani huyo
hataki tena tendo la ndoa
Na mumewe.. haimfurahishi..dahhhh
Wakuu napenda
Kutanguliza samahani kama hii
topic itawakwaza wengine..
Nina rafiki yangu wa kike kaolewa
na ana mtoto wa miaka mitano ..
Yeye na mume wake pamoja na mtoto
wanaishi maisha ya amani tu..
Nway jana hiyo tukawa tunapiga story tu
akasema kuna kitu anataka kuniambiaili nimsaidie
akasema yeye si mwaminifu kwenye ndoa yake kwani
ame fanya tendo la ndoa na mwanamke mwingine..
na kweli amefurahia na anaburudika zaidi..
Amejaribu kumwambia mumewe kwa njia ya utani
Mume akabadilika kuwa Mbogo ndo akamwambia ni utani tu..
Sasa wanajamvi afanyaje sukari imemkolea kwa mwanamke
Mwenzake,halafu ye mtoto wa Mchungaji na huku ana
ndoa na familia..
Mawazo yenu yanakaribishwa.
Kumbe mwanamke pai anaweza kumbaka mwanamke mwenzie ?Shetani ana nguvu sana mwambie huyo dada afunge na kufanya maombi maana atakapo angukia ni aibu kwa ndugu zake na mumewe na mtoto wao,
Halafu my dia jaribu kumuogopa kimtindo asije kukubaka bure.
Kumbe mwanamke pai anaweza kumbaka mwanamke mwenzie ?
Wakuu napenda
Kutanguliza samahani kama hii
topic itawakwaza wengine..
Nina rafiki yangu wa kike kaolewa
na ana mtoto wa miaka mitano ..
Yeye na mume wake pamoja na mtoto
wanaishi maisha ya amani tu..
Nway jana hiyo tukawa tunapiga story tu
akasema kuna kitu anataka kuniambiaili nimsaidie
akasema yeye si mwaminifu kwenye ndoa yake kwani
ame fanya tendo la ndoa na mwanamke mwingine..
na kweli amefurahia na anaburudika zaidi..
Amejaribu kumwambia mumewe kwa njia ya utani
Mume akabadilika kuwa Mbogo ndo akamwambia ni utani tu..
Sasa wanajamvi afanyaje sukari imemkolea kwa mwanamke
Mwenzake,halafu ye mtoto wa Mchungaji na huku ana
ndoa na familia..
Mawazo yenu yanakaribishwa.
HahahaWakuu napenda
Kutanguliza samahani kama hii
topic itawakwaza wengine..
Nina rafiki yangu wa kike kaolewa
na ana mtoto wa miaka mitano ..
Yeye na mume wake pamoja na mtoto
wanaishi maisha ya amani tu..
Nway jana hiyo tukawa tunapiga story tu
akasema kuna kitu anataka kuniambiaili nimsaidie
akasema yeye si mwaminifu kwenye ndoa yake kwani
ame fanya tendo la ndoa na mwanamke mwingine..
na kweli amefurahia na anaburudika zaidi..
Amejaribu kumwambia mumewe kwa njia ya utani
Mume akabadilika kuwa Mbogo ndo akamwambia ni utani tu..
Sasa wanajamvi afanyaje sukari imemkolea kwa mwanamke
Mwenzake,halafu ye mtoto wa Mchungaji na huku ana
ndoa na familia..
Mawazo yenu yanakaribishwa.
hilo ni pepo, maombi ndiyo yatamuokoa. Asipofanya jitihada, ndoa yake iko shakani.
What's wrong with dude? If I were him I'd bust a quick rhyme that goes a lil' some like this....my girl gotta a girlfriend, I just found out but it's aiight, as long as I can be with her too. And It's really not a problem coz Imma make it do-what it-do. Coz having two chicks is better than having no chicks. I'd rather just join in. Keep my girl and keep the other one too. Ha haaa....
So just tell dude not to be all uptight about it. Life is too short to fuss about the minutiae of everyday life. Actually, IMO fussing shortens life. He can join in and they can all have one hell of a menage a trois. That way so everyone can be jolly. Does anyone find that to be objectionable?
Oh btw, wassuup JF world? It's been a minute and things done changed since I left. I see tons of new peeps that I barely know. But it's all good. I'm sure the vets did hold down the fort while I was gone. Happy Monday, peace out, and be well.