My galaxy N700 inakataa kubrowse kupitia web browsers

My galaxy N700 inakataa kubrowse kupitia web browsers

Pung'o boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2013
Posts
685
Reaction score
305
Salamu wakuu, simu yangu note1 inagoma kubrowse internet connection sizani kama kuna shida maana naweza kuchat watsapp,facebook,instagram na kudownload via playstore ila nikiingia kwenye internet explore na browser nyingne inakataa... mwenye uelewa na hili naomba msaada....
 
Salamu wakuu, simu yangu note1 inagoma kubrowse internet connection sizani kama kuna shida maana naweza kuchat watsapp,facebook,instagram na kudownload via playstore ila nikiingia kwenye internet explore na browser nyingne inakataa... mwenye uelewa na hili naomba msaada....

unatumia mtandao gani? apn ziko sawa?
 
Kama apn zipp sawa mashaka yatakuwa kwenye mtandao hasa ....rtl
 
Salamu wakuu, simu yangu note1 inagoma kubrowse internet connection sizani kama kuna shida maana naweza kuchat watsapp,facebook,instagram na kudownload via playstore ila nikiingia kwenye internet explore na browser nyingne inakataa... mwenye uelewa na hili naomba msaada....

Isijekuwa umejiunga kifurushi cha wasap pekee af unataka kutumia web browser au mb chache?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom