Mwlimu na mwanafunzi

Ino

Member
Joined
Dec 20, 2012
Posts
25
Reaction score
7
siku moja mwalimu wa sayansi aliingi darasani kwa akinana kizibo,kizibo alikuwa na swali la mtego kwa mwalimu wake,mambo yalikuwa hivi:
Kizibo.Eti mwalimu,hivi ukichanganya sabuni ya OMO na FOMA eti itatowa povu?

Mwalimu:We pumbafu sana swali gani hilo lakijinga? kwanini isitoe povu wakati zote ni sabuni?

Kizibo:Mwalimu we ndo mjinga kabisa haziwezi kutoa povu kwasaba hujachanganya na maji kwi kwi kwi kwi kwi kwi

Teacher hoi lol.
 
kuna mwanafunzi naye aliambiwa achore samaki anaogelea, yeye akachora vululu la maji, mwalimu alipomuuliza samaki yuko wapi akajibu yumo humo ndani ya maji........................
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…