chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,012
- 20,685
Moja kati ya sababu za mzee nyerere kufuta demokrasia ya vyama vingi ilikuwa ni kuharakisha maendeleo ya nchi
Nchi ikawa inaenda kwa amri moja na kudumisha fikra za mwenyekiti wa chama
Lakini,mwisho wa siku,mzee nyerere aliiacha nchi ikiwa hoi taabani
Nchi zilizokuwa zinafata matakwa ya kidemokrasia katika kila mambo yake, zimechanja mbuga na sasa ziko mbali sana
Maendeleo yanayoambatana na demokrasia huleta "sense of ownership" yaani mwananchi amekaa akajadili na akakubaliana na wenzie nini wafanye
Maendeleo yanaanzia na mwananchi mwenyewe
Je awamu hii itafanikiwa kuleta Maendeleo bila demokrasia?
Nchi ikawa inaenda kwa amri moja na kudumisha fikra za mwenyekiti wa chama
Lakini,mwisho wa siku,mzee nyerere aliiacha nchi ikiwa hoi taabani
Nchi zilizokuwa zinafata matakwa ya kidemokrasia katika kila mambo yake, zimechanja mbuga na sasa ziko mbali sana
Maendeleo yanayoambatana na demokrasia huleta "sense of ownership" yaani mwananchi amekaa akajadili na akakubaliana na wenzie nini wafanye
Maendeleo yanaanzia na mwananchi mwenyewe
Je awamu hii itafanikiwa kuleta Maendeleo bila demokrasia?