Mwili wa Raila Odinga ulivyoagwa Bungeni

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,505
Reaction score
2,267
Aisee,

Ama kweli thamani ya Binadamu ni uhai wake tu,
Uhai ndio kila kitu,

Ukiuangalia mwili ni yule yule Raila Odinga,ila kwa vile mwili huo umekosa uhai,basi kilichobaki ni kufukiwa chini tu na kwenda kuoza!

R.I.P
 
Kenya namna yao ya kuaga mwili inatisha sana Yani mwili mzima unakuwa wazi so happened to Kenyatta Moi nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…