Hali zenu jamani, hayo yamesha nikuta hata mm mwili ua unatetemeka kwa muda wa msa2 hivyo ao vidole vya mkono utetemeka kama mzee wa miaka 90 vile, nilifanyiwa check up Ospitali nchini south Africa ndani ya Free state bethlehem mpaka pentown lakini ikawa negatif , ilibidi nishuke home sweet home! Sindio ikagundulika kua ni tambiko! Kwaio unapo kosa maradhi kitaalikitaalam jaribu na Asilietu pia TV Za ASILI.