Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,608
- 109,239
eti injinia!! mtu unaandika m2!! shenzitype injinia ushuzi wewe labda.Uclolijua ni kama ucku wa kiza.Mi ni injia wa madini na mpaka sasa nafanyakazi katika moja ya migodi huku kahama.Na muda c mrefu nataka kuanzisha small scale gold processing plant.Ucdhani kila m2 ni kama hao wahuni unaowa2kana kila cku.
Huyu ndiye mwanasiasa ninayemkubali na kumpigia mfano kwa sasa hapa nchini.Nmefatitilia siasa zake na uongozi wake kwenye bunge na jamii kwa ujumla na vitu nlivyovigundua ni kwamba huyu jamaa yupo safi kwa kila kitu.Yeye ndo mfano wangu.Natamani cku moja niwe na uwezo wa kisiasa na kiuongozi kama yeye.
Uclolijua ni kama ucku wa kiza.Mi ni injia wa madini na mpaka sasa nafanyakazi katika moja ya migodi huku kahama.Na muda c mrefu nataka kuanzisha small scale gold processing plant.Ucdhani kila m2 ni kama hao wahuni unaowa2kana kila cku.
Wapi hiyo kazi nzuri ilipo..au mnafurahia mil 200Hamna anaelipwa ila kazi yake nzuri inaonekana
Wapi hiyo kazi nzuri ilipo..au mnafurahia mil 200
hahahaaaaa shujaa wako kwa kuratibu mipamgo ya utekaji na utoaji kucha teh teh teh umetisha kiongozi kweli mwigulu ni shujaa ,,kama anaweza kurusha mabomu duuuu!Huyu ndiye mwanasiasa ninayemkubali na kumpigia mfano kwa sasa hapa nchini.Nmefatitilia siasa zake na uongozi wake kwenye bunge na jamii kwa ujumla na vitu nlivyovigundua ni kwamba huyu jamaa yupo safi kwa kila kitu.Yeye ndo mfano wangu.Natamani cku moja niwe na uwezo wa kisiasa na kiuongozi kama yeye.
Majambazi wote tu.
Huyu ndiye mwanasiasa ninayemkubali na kumpigia mfano kwa sasa hapa nchini.Nmefatitilia siasa zake na uongozi wake kwenye bunge na jamii kwa ujumla na vitu nlivyovigundua ni kwamba huyu jamaa yupo safi kwa kila kitu.Yeye ndo mfano wangu.Natamani cku moja niwe na uwezo wa kisiasa na kiuongozi kama yeye.
Huyu ndiye mwanasiasa ninayemkubali na kumpigia mfano kwa sasa hapa nchini.Nmefatitilia siasa zake na uongozi wake kwenye bunge na jamii kwa ujumla na vitu nlivyovigundua ni kwamba huyu jamaa yupo safi kwa kila kitu.Yeye ndo mfano wangu.Natamani cku moja niwe na uwezo wa kisiasa na kiuongozi kama yeye.