Mwigulu Nchemba awachana wanaohoji deni la taifa

Vipi value for money, maana Kuna kuongeza sifuri broo
 
Nape ni mnafiki na mjaa chuki ana hasira na jpm alimtumbuwa uwaziri
Mnafki sana huyo siamini kama ni yeye alienda kupiga magoti toka getini ikulu mpaka mbele ya JPM.
Leo marehemu hayupo ndio anaropokwa kwa nini hakusema wakati ule?
Aisee tumewajua wanafki wengi sana safari hii
 
Kama huna uwezo wa kulipa mkopo utakopeshwa?
 
Huyu Mwigulu nae Ni MPOTOSHAJI mzuri Sana kwani anaogopa Nini ukaguzi kufanyika? Kwani Kama miradi imefanywa mingi si inajulikana na gharama zake kiasi cha pesa? Si aache mkaguzi apitie kila sehemu ndiyo aseme? Maana mtoa hoja mh Nape aliomba miradi ichunguzwe ifanyiwe ukaguzi na mkaguzi wa hesabu za serikali kujua Kama kiwango kilichokopwa kinalingana na matumizi yake? Kosa lipo wapi hapa mpaka mwigulu anakurupuka hivyo, anataka kuficha Nini kwa majibu hayo?
 
Kwanini mkaguzi asioete kufanya ukaguzi kwani miaka yote madudu yanayoonekana serikalini anapopita mkaguzi kulikuwa hamna record zote? Acha kupotosha na kutetea ujinga mawazo ya nape Ni mazuri maana kwanza kwa awamu ya tano kumekuwa na sintofahamu nyingi Sana tumedanganywa serikali haikopi inatekeleza miradi kwa pesa za ndani huku Deni linakua CAG Alipojaribu kufumua madudu akapigwa chini kipuuzi kabisa Leo mnataka Nape apuuzwe Kuna Nini mnakilinda na mnapata Nini hasa ?
 
Si mwendazake alituambiwa hiyo miradi inatekelezwa kwa fedha za ndani?
 
ekani wanakopa na kujifichaficha na kudanganya kuwa hawakopi? Na je hiyo mikopo haipo wazi ama nayo ndio kama tufanyavyo sisi. Tena usitake kuleta uongo wako hapa juu ya Wamarekani wale jamaa ni wakweli sana linapokuja swala la miradi ya nchi.
Acheni propaganda ya mambo usiyoyajua... dunia kijiji. Kama hujui jambo nyamaza acha kusifiasifia tu mambo usiyoyajua... I must admit that, these people are on another level but still not all the time their staffs are wide open... do your research.



vijana tufanye kazi. Tuache uvivu, na ukizingatia jua kali now.
 
Mwigulu amemjibu Nape kisiasa sio kisomi. Kwa mfano, Mwigulu anasema sababu za deni la taifa kukua ni pamoja na umemem vijijini, lakini tunavyoelewa usambazaji wa umeme vijijini unatokana na levyy tunayolipa kwenye bill za umeme na grants nyingine, rural electrification haijawa funded na mikopo ya ndani au nje. Sasa haya ndio mambo yanahitaji ufafanuzi wa kitaalamu sio majibu mepesi mepesi ya kufokeana.
 
Mh
 
Afu wakisema jengo lile lina mazuzu wanachukia. Uchunguzi anaozungumzia nape ni kutaka kujua thamani ya miradi iliyofanyika na fedha iliyokopwa. Kama waziri kashafanya uchunguzi atujuze sio kutoa majibu ya juu juu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…