Mwigulu Nchemba awachana wanaohoji deni la taifa

Comments nyingi huwa unachangia pindi unapotoka kufiilwa!!
neneleakes-happy.gif
drakekidding.png


Kula tano mwanangu.
 
Kwamba hawana haki ya Kuhoji ? Yeye tatizo lipo wapi kazi yake ni kujibu hizo hoja na sio kuwachana wanaofanya kazi yao (kuhoji ni wajibu wa kila mlipa kodi)
 
Miradi ya JPM itajitetea yenyewe.
Majizi makubwa aliyabana, kutwaliwa yameanza kupumua.
Laaana ya kumzushia marehemu uongo,haitamuacha salama Nape.
 
Waziri wa fedha Dk Mwigulu Nchemba amefunguka na kuwachana wanaohoji kukua kwa deni la taifa kuwa wasihoji kwa kukurupuka kama wamebambikwa mbali wahoji kwa kuangalia na miradi iliyotekelezwa kwenye kipindi hicho.
Nchemba amebaniinisha kuwa kuna maelfu ya miradi imetekelezwa nchini ikiwemo barabara za lami, umeme vijijini ,maji na Zahanati kila mahali kwa kutumia fedha hizo.

apenda nitoe mawazo yangu kwenye mikopo ya serikali. Nitaelezea kwa mtiririko wa utekelezaji ili niwasaidie Serikali badala ya kulalamika na kupigiana madongo



  • Mikopo yote ya serikali bila kujali awamu iangaliwe kwa kujua muda wa kulipa mikopo na riba za mikopo
  • Group 1: Mikopo yote yenye riba ndogo na miaka mingi ya kulipa. Hii ndiyo mikopo mizuri. Mfano kama una mkopo wa 5% kwa miaka 20 huu ni mkopo mzuri.
  • Group 2. Mikopo ya pili ni mikopo yenye riba ndogo lakini muda mfupi. Hii nayo ni mizuri lakini muda ndiyo tatizo
  • Group 3. Mikopo yanye riba ya juu ambayo ni zaidi ya 10% lakini muda mfupi. Hapa tatizo kubwa ni riba na huu ni mkopo mbaya
  • Group 4. Mikopo yenye riba ya juu zaidi ya 10% na ya muda mrefu. Hii ndiyo mikopo mibaya kuliko yote.
Serikali fanyeni hizi

  • Mikopo Group 3 fanyeni mpango kama mnaweza kujadili malipo kwa njia ya refinance. Hii ni kama kutafuta wawekezaji/bank ambayo inaweza kulipa hili deni na kukupa muda zaidi wa kulipa na riba nafuu. Inavyotokea ni kwamba hii bank au watoa mikopo wanalipa mkopo wote na lile deni linakuwa mkopo mpya nafuu na wa muda mrefu. Kama ni mkopo wa serikali chukueni hii mikopo na mpeni Raisi aweze kuongea na hiyo serikali husika. Wizara inatakiwa kumpa Raisi kitu ambacho kimekamilika ili akaongee nao. Mfano kama ni mkopo wa serikali ya Japan raisi anaweza kuongea na waziri mkuu wa Japan lakini ni lazima kwanza wizara ifanye kazi yake na kuwa na data zote za mikopo kwbla ya kupeleka kwa Raisi. Tatizo hakuna ubunifu na watendaji wa wizara wanabaki tu na utekelezaji badala ya kuwa wabunifu
  • Mikopo Group 4. Hii mikopo yote inabili kila mmoja uangaliwe upya na kutafuta njia zote za ku refinance. Hii ni kutafuta mkopo wa nafuu wa kulipa huu mkopo mbaya halafu mkopo mpya unakuwa wa muda mrefu zaidi na riba ya chini. Kama ni mikopo ya nchi muhusisheni Raisi!

What Is a Refinance?​

A refinance, or "refi" for short, refers to the process of revising and replacing the terms of an existing credit agreement, usually as it relates to a loan or mortgage. When a business or an individual decides to refinance a credit obligation, they effectively seek to make favorable changes to their interest rate, payment schedule, and/or other terms outlined in their contract. If approved, the borrower gets a new contract that takes the place of the original agreement.


Borrowers often choose to refinance when the interest-rate environment changes substantially, causing potential savings on debt payments from a new agreement.

Mwigulu Nchemba
 
Upumbavu uliochangiwa na Nape kuwaletea Dikteta watanzania 2015 kwa sera ya bao la mkono itamtafuna tu maana dikteta huyo huyo alimgeuka.

Kwanza huyu Nape nani alimchagua 2020 maana katiba haina wabunge wa ujinga ujinga sijui kupita bila kupingwa! Asipingwe yeye ni nani kama manabii tu walipingwa?
 
Mwigulu katoka na majibu mepesi mno kama vile na yeye ni layman kwenye mambo haya ya fedha.

Nape hajamtuhumu mtu na kaomba ifanyike special audit tu, baaasi. Akina Mwigulu wasihamishe goal posts
 
Nape ni mbunge wa CCM, na hoja ikitoka kwa mwanachama na mbunge wake basi lazima iwe na uzito wake - ni kweli CAG achunguze kwa undani wake hili deni letu la taifa llimepandapandaje hadi kufikia hapo lilipo. hii ni hoja ya msingi sana.

Si kwa ubaya ama lengo la kumkamata mtu hapana, ni kujiridisha tu kwamba je pesa ilikopwa na kutumika kwa msingi ya kisheria.
Mama upo misri juz alikuwa scotland wik iliopita alikuwa nigeria ni bata kwenda mbele kwa jinsi madaraka yalivyo matamu ktk nchi hii CHADEMA haiingii ikulu Ng'ooooooooooo
 
ivi jamani hii si ndo miradi tulokua tunaambia ni sisi wenyewe tunajenga na tutembee kifua mbeeereeee.....
 
Kuna Project tuliambiwa zitakuwa implemented via Solidarity fund, Na watanzania tukaambiwa tufunge mikanda
 
Back
Top Bottom