Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Katika wanasiasa waongo mmoja wapo ni huyu Mwigulu Nchemba, najiuliza ivi ukiwa doctor na ukawa CCM akili huwa zinawaruka? Hivi huyu ndio wakuwasema CHADEMA wanamsemea Tundu Lissu majukwaani tena unaweka na element za UBAGUZI kuwa sio ndugu yao.
Watanzania ni ndugu au hulijui hilo? Unawabagua watu kwa makabila yao ili iweje? Tena waziri wa mambo ya ndani kisa madaraka unatoa utu?
Kama Lissu ni ndugu yako, je ulichangia shs ngapi kwenye matibabu? Je ulishaenda kumjulia hali toka aliposhambuliwa? Wewe ni ndugu yake kivipi?