Anatema povu,porojo,anananga,Anasema wapinzani wana pepo,anasubiri 2015 atawatia adabu wapinzani!anasema anatamani aongoze nchi hii awafundishe watu adabu!Huyu mzima kweli,kuna bajeti ya kunanga upinzani au ya nishati
Akichangia sasa hivi mgwillu nchemba amesema anatamani kuwa rais wa nchi hii ili awafundishe watu ADABU....!
My take:
baba rizi ameidhalilisha sana taasisi ya urais sitashangaa kesho hata kalapina au dudu baya wakitangaza nia
Ki fupi anasema kuwa JK ameshindwa , yeye ndio anaweza kuendesha nchi vizuri ......meseji sent kwa JK kuwa ameshindwa kuendesha nchi na imekosa adabu......
Anatema povu,porojo,anananga,Anasema wapinzani wana pepo,anasubiri 2015 atawatia adabu wapinzani!anasema anatamani aongoze nchi hii awafundishe watu adabu!Huyu mzima kweli,kuna bajeti ya kunanga upinzani au ya nishati