Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 16,927
- 13,011
Leo mjengoni wwakati mh kiwia wa ilelemela akieleza jinsi alivyotaka kuuwawa na kusema kuwa gari la maria hewa wa ccm lilikuwa eneo la tukio, akasimama nchemba kutoa taarifa kuwa eti hata pale nje bungeni eti gari lipo then ndugai anacheka tu. kiwia akasema kuna watu wanafurahia matatizo ya watu then akaendelea kuchangia. sasa hii mutu inasimama na kuchekacheka anamanisha nin? poor first class economist
Unawashwa wewe.
Unawashwa wewe.
huyo ni wa singida mkuuwatu wenye akili timamu wanaotokea tabora ni wa kuhesabu.
watu wenye akili timamu wanaotokea tabora ni wa kuhesabu.
watu wenye akili timamu wanaotokea tabora ni wa kuhesabu.
Amesema ni wa kuhesabu ....labda na wewe kwenye hesabu umo mkuu so usipaniki!
huyo ni wa singida mkuu
Veve Nyanda, Shindo lyako.... hehehehee...!!!! Sasa hapa Mwigulu, Mbunge wa Singida anaingiaje kuwa wa Tabora?
Au kwa sababu alifanyia UGONI wake Tabora/Igunga?
Nakuona siku zote unatutafuta sana Wadakama. Haya wee endelea tu. Sijui tulikuchukulia Nani wako!!!
NOYAGA.