Just Pray
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 2,142
- 4,779
Mwenyekiti wa Ccm Mbeya Mjini Humphrey Nsomba amechukua Fomu kugombea Ubunge jimbo la Mbeya Mjini
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Jimbo hilo lilikuwa linaongozw na Mbunge anayenliza muda wake Dkt Tulia Akson ambaye ameonesha nia ya Kugombea Jimbo la Uyole Baada ya Jimbo la Mbeya Mjini kugawanywa na kupatikana majimbo mawili, jimbo la Mbeya mjini na jimbo la Uyole
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Jimbo hilo lilikuwa linaongozw na Mbunge anayenliza muda wake Dkt Tulia Akson ambaye ameonesha nia ya Kugombea Jimbo la Uyole Baada ya Jimbo la Mbeya Mjini kugawanywa na kupatikana majimbo mawili, jimbo la Mbeya mjini na jimbo la Uyole