mwembemdogo
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 2,282
- 1,252
CCM ndio chama chenye Serikali iliopo madarakani , Serikali ambayo imewatangazia watanzania kuwa in serikali ya kubana matumizi.Tunaishauri CCM ili kuiunga mkono serikali yake imtake Mwenyekiti anayemaliza muda wake Mh.Kikwete amtangaze
Mwenyekiti mpya wa chama hicho badala ya kupeleka Wajumbe Dodoma Na kutumia fedha nyingi wakati fedha hizo zingetumika kutengeneza Madawati ya wanafunzi.Pia CCM itakuwa imeiunga mkono Serikali yake kivitendo.Kidumu chama cha mapinduzi.
Mwenyekiti mpya wa chama hicho badala ya kupeleka Wajumbe Dodoma Na kutumia fedha nyingi wakati fedha hizo zingetumika kutengeneza Madawati ya wanafunzi.Pia CCM itakuwa imeiunga mkono Serikali yake kivitendo.Kidumu chama cha mapinduzi.