1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 6,260
- 7,936
sasa huyu ana wadhifa gani hapa kwetu?
hawa si ndio wametufanyia figisu kwenye bombardiee?
Hawa si ndio ma ACACIA
yaani tunahitaji kujitambua. wazee walitafuta uhuru na
Ba=vichaa wanapigania utumwa mamboleo.
yaani mmekaa kinafikinafiki tu huyu ametweet kama personal viewer na apeleke uhindi wake huko india ambako ni origin yake.
Na akemee ubaguzi wa wahindi dhidi ya waafrika wasomao na kuishi huko maana nao wanauwawa mitaani kama kuku.
mbona hatujawasikia kukemea.
Huku aman ipo apambane na hali yakeMwenyekiti wa Wabunge wa Canada kwenye Bunge la Jumuiya ya Madola amesema kuwa ameshtushwa shambulio la la kupigwa risasi kwa Mbunge wa Singida Mashariki na Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika TLS, Tundu Antipas Lissu.
Aidha amemtaka Rais wa Jamhuriwa ya Muunganowa Tanzania John Pombe Joseph Magufuli akomeshe uhalifu huo.
Umeambiwa wamekufa watanzania wangapi, mbona tunaadhimisha siku aliyokufa Nyerere, hao watanzania wengine? JitafakarisheHakushtushwa na mauaji ya kibiti?
Tuache unafiki
Hakushtushwa na mauaji ya kibiti?
Tuache unafiki
Mhhhhh mbona hajachukua hatua pale Nigeria,, boko haramu inayosumbua vile, au Nijeria hawako chini ya Jumuia ya madolaMwenyekiti wa wabunge wa Canada katika Bunge la Jumuiya ya Madola, Yasmin Ratansi ameshtushwa kusikia jaribio la mauaji ya Tundu Lissu ambae ni Mbunge wa Singida Mashariki kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) na Rais wa chama cha wanasheria nchini.
Amemtaka Rais Magufuli kumaliza uhalifu huo nchini Tanzania.
Wewe unajua nini? Tueleze unachokijua au peleka polisi..CANADA si ndiyo wale wwle wafadhili wenu, anaongea kitu asichokijua.
Amani ipo sababu risasi au wasiojulikana bado hawajafika kwako...Huku aman ipo apambane na hali yake
Unajuaje kama hakuchukua hatua? Are you sure hakuchukua?Mhhhhh mbona hajachukua hatua pale Nigeria,, boko haramu inayosumbua vile, au Nijeria hawako chini ya Jumuia ya madola
Hampendi kuambiwaHakushtushwa na mauaji ya kibiti?
Tuache unafiki
unabeep au...Mwenyekiti wa wabunge wa Canada katika Bunge la Jumuiya ya Madola, Yasmin Ratansi ameshtushwa kusikia jaribio la mauaji ya Tundu Lissu ambae ni Mbunge wa Singida Mashariki kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) na Rais wa chama cha wanasheria nchini.
Amemtaka Rais Magufuli kumaliza uhalifu huo nchini Tanzania.
AMANI ilikuwa enzi za MWALIM na kidogo MZEE MWINYI... waliobakia wote micharukoTanzania nchi ya 'amani'
Akihurumiwa atasema anawashwa washwa.Huyo nae ataitwa mchochezi....