Mh wapwa tena!! Sie tunataka mbunge mwenye kujenga hoja mkuu. Bukwimba licha ya kuwa na madiwani wengi toka Busanda katka Geita council alizidiwa kete na Msukuma hospital ya wilaya ikajengwa nzera. Tunamshukuru JPM katuonea huruma na sie katupa hospital yenye hadhi ya wilaya. We need Biteko perhaps can do something