mabuladaud
Member
- Jun 19, 2019
- 15
- 7
Natafutasimu aina ya nokia 3310 3g,4g, nokia 8110 4g iliyotumika au hata kama ni mpya nna shida nayo sana, na kuhusu mahali ulipo haina shida ili mradi upo Tanzania nitakupata tuu. Na kma maduka ya simu ipo mahali unaweza ukanisaidia kunipa mawasiliano maana nmeangalia maduka ya Mbeya na Mwanza sijaipata na nipo Mbeya.
Pia kuna simu ya tecno L9 plus imeungua engine kwahiyo mwenye engine nzima sio mpya anitumie mawasiliano.
PC aina ya toshiba [model name:satellite pro L550-17u] imehalibika screen yake mweye pc kama hiyo tuwasiliane .
Assanteni
Pia kuna simu ya tecno L9 plus imeungua engine kwahiyo mwenye engine nzima sio mpya anitumie mawasiliano.
PC aina ya toshiba [model name:satellite pro L550-17u] imehalibika screen yake mweye pc kama hiyo tuwasiliane .
Assanteni