No kaka ndugu yangu ndo kafanya lakini ye hayuko kwenye hili jamvi na ndio maana nimechukua nafasi hii kuuliza kwa niaba yake coz najua jf kuna watu ambae watatusaidia kupata habari
Ndio tunahitaji uvumilivu lakin watoe majina ya watu waliofanikiwa kwenye web yao ndipo watu waendelee kuvumilia kuliko sasa,ukizima simu kidogo tu kosa,ushauri tu
Dah! Jamaa nao wamekaa kimya zamani ulikuwa ukiomba kazi ni mwezi mmoja ulishapata siku hz mpaka baada ya mwaka ndiyo upate. Tanganyika ingekuwepo nisingeteseka naipenda tanganyika yangu.
usiseme hivyo mkuu,mi nachoona huu ni unyanyasaji wa kifikira,baada ya kutuweka tuwe attention muda wote,si tuwaombe tu pccb watoe majina then watu waendelee kusubiri kulipoti kazin