Mwenye update kama wameanza kuita matokeo ya oral
dah aliyeitwa jaman au mwenye info atujuze coz wk ya pili ndio hii
Ukiona manyoyaa.................!!!NMB ni benki ya kishenzi na washenzi wamejaa humo,ni mwendo wa kujuana tu.
Wameanza kuita leo,kuna mtu tulifanya nae ameitwa leo akaripot alhamic ,wengne tusubir may b ksho au ndo basi tena
wataendelea kuita au ndo washamaliza hivyo
Kuna jamaa zangu wawili wameitwa toka wiki iliyopita na contract wamesaini tayari, J4 ya keshokutwa wanaitajika waripoti vituo vyao vya kaziWale waliofanya oral interview kuna aliyeitwa tayari?
Kuna madada wameitwa ambao walikua wanafanya kazi za KYC watatu,ila kaa stand by maana wameita sijui niseme au wamechukua wale waliokua wanafanya NMB Ambasador ambao kumbe walitakiwa wasiapply sasa sijajua mpk wanawaweka wale walikua hawajui maana ajira zao zimefutwa hawatakiwi waaply so haieleweki wataitwa wengine kujaza nafasi zao ama vipi...so stay tuned!!!
Sijajua mdada maana wako kimya kwa sasa :A S 13:Kwan wale hawatakiw kuapply??kuna uhakika kwamba wataita wengine au?